Our Updates

Mafunzo ya namna ya kulea mtoto mwenye epilepsy

By Fides Uiso


Fri, 21-Feb-2020, 14:32

Taasisi hutoa mafunzo na kuhamasisha wazazi hasa akina mama kuelewa namna ya kufanya malezi. kupata mafunzo haya tafadhari wasiliana nasi kupitia anuani yetu ama kwa njia ya whatsapp

Continue reading

Mkurugenzi ahudhuria mkutano wa wanawake Purple Planet

By Fides Uiso


Fri, 21-Feb-2020, 14:26

Mkurugenzi akitimiza moja ya majukumu makuu ya Tanzania Epilepsy Foundation ambayo ni kuhamasisha wakina mama kujishulisha zaidi na mambo ya kiuchumi na malezi bora kwa familia

Continue reading

Ziara katika zahanati ya Goba

By Fides Uiso


Fri, 21-Feb-2020, 10:16

Mkurugenzi mtendaji Bi Fides Uiso alitembelea zanahati ya Goba ili kuzungumza na akina mama wajawazito pamoja na wenye watoto chini ya miaka mitano. Mkurugenzi alizungumzia kuhusu namna bora ya kuwalea watoto wenye kifafa huku mama akitenga pia muda wa kufanya biashara zake za kumuingizia kipato.

Continue reading

This site was designed with Websites.co.in - Website Builder

WhatsApp Google Map

Safety and Abuse Reporting

Thanks for being awesome!

We appreciate you contacting us. Our support will get back in touch with you soon!

Have a great day!

Are you sure you want to report abuse against this website?

Please note that your query will be processed only if we find it relevant. Rest all requests will be ignored. If you need help with the website, please login to your dashboard and connect to support

;